Man Utd kukabiliana na Wolfsburg UEFA

Wolfsburg
Michuano ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya (UEFA) inatarajiwa kuendelea kesho Jumanne Desemba 8 kwa michezo kadhaa katika hatua ya makundi.

Real Madrid itakuwa ikichuana dhidi ya Malmo, Paris Saint-Germain watawakabili Shakhtar Donetsk zikiwa ni mechi za kundi A.

KUNDI: B:
PSV Eindhoven Wao watapepetana na CSKA Moskva, Wolfsburg watakuwa wakimenyana na Manchester United .

KUNDI: C:
Benfica watawakabili Atlético Madrid, na Galatasaray ya Uturuki itachuana na Astana

KUNDI: D:
Manchester City Watawakabili Borussia Mönchengladbach, huku Sevilla wao wakichuana na vijukuu vya bibi kizee vya Turin Klabu ya Juventus .

Na Desemba 9 kutapigwa mechi kadhaa katika mwendelezo wa michuano hiy

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHELSEA KUWAVAA UNITED BILA YA COSTA

ROGERS NJIA PANDA LIVERPOOL