Adele aomba msamaha baada ya shabiki kujeruhiwa
Mwanamuziki wa muziki wa Pop Adele
ameomba msamaha baada ya shabiki mmoja kujeruhiwa alipoangukiwa na
nyororo katika tamasha la Glasgow.
Alichukuliwa na kupelekwa hospitali kama tahadhari kulingana na msemaji wa ukumbi huo.
Adele baadaye alituma ujumbe katika mtandao wake wa Tweeter akisema: Pole kwa kusikia kwamba kuna mtu alijeruhiwa katika tamasha yangu usiku.
Uchunguzi unaendelea ili kuhakikisha kisa kama hicho hakitokei tena.
Maoni
Chapisha Maoni