ARSENAL IYOOOOOOOOO FAINALI FA
Reading ilikuwa ikicheza kufa na
kupona ili kushiriki katika mechi ya fanaili ya kombe la FA katika
uwanja wa Wemble,ambayo ni kwa mujibu wa mkufunzi wa Arsenal Arsene
Wenger.
Reading ilitoka nyuma na kusawazisha na kufanya mechi hiyo kuchezwa katika mda wa ziada.Vilvile walishindwa kutumia nafasi muhimu kuilaza Arsenal.
Makosa ya kipa Adam Federic yalipaatia Arsenal ushindi huku mechi hiyo ikikamilika 2-1 kupitia mabao yaliofungwa na mchezaji nyota wa Arsenal Alexei Sa
nchez

Maoni
Chapisha Maoni