Rwanda imeteuliwa kuwa mwenye wa fainali za kombe la mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFGA Challenge Cup, Novemba mwaka huu.
Katibu mkuu wa CECAFA Nicholas Musonye amethibitisha uamuzi huo.
Rwanda inatazamia kutumia fainali hiyo kujiandaa kwa michuano ya fainali za kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanashiriki ligi ya nyumbani, maarufu kama CHAN.
Fainali hizo za CHAN, ndio ya pili kwa ukumbwa barani na hushirikisha wachezaji chipikizi wanaocheza ligi mbali mbali nchini mwao.













Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHELSEA KUWAVAA UNITED BILA YA COSTA

ROGERS NJIA PANDA LIVERPOOL