Rwanda imeteuliwa kuwa mwenye wa
fainali za kombe la mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFGA
Challenge Cup, Novemba mwaka huu.
Katibu mkuu wa CECAFA Nicholas Musonye amethibitisha uamuzi huo.Rwanda inatazamia kutumia fainali hiyo kujiandaa kwa michuano ya fainali za kombe la Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanashiriki ligi ya nyumbani, maarufu kama CHAN. Fainali hizo za CHAN, ndio ya pili kwa ukumbwa barani na hushirikisha wachezaji chipikizi wanaocheza ligi mbali mbali nchini mwao. |
Machapisho maarufu kutoka blogu hii
CHELSEA KUWAVAA UNITED BILA YA COSTA
Chelsea wanatumai kwamba mshambuliaji Loic Remy atacheza katika mechi dhidi ya manchester United baada ya kukosa mechi dhidi ya QPR na jeraha la mguu. Mshambuliaji hatari wa timu ya soka ya chelsea didier Drogbaaaa akishangilia moja ya mabao yake Mshambuliaji wa Chelsea Diego Costa hatocheza lakini anaweza kurudi dhidi ya Arsenal wiki ijayo. Mkufunzi wa kilabu ya manchester United Luois Van Gaal atawakosa wachezaji wake wanne akiwemo Michael carrick,Daley Blind,Phil Jones na Marcos Rojo. Jonny Evans na Chris Smalling wanahudumia marufuku huku Paddy McNair na Tyler Blackett ni wachezaji wa pekee wa safu ya ulinzi wa kiungo cha kati waliosalia.
ROGERS NJIA PANDA LIVERPOOL
Kocha wa klabu ya Liverpool Brendan Rodgers yupo kwenye wakati mgumu baada ya kushindwa kutwaa taji lolote katika misimu mitatu ya mwanzo ya kuwanoa vijogoo hao wa Anfield. Hii ni rekodi ambayo haijawahi tokea kwa kocha yeyote tangu mwaka 1950 ndani ya kikosi hicho. ,Je ni wachezaji wasiokidhi viwango?,au ni mbinu za kocha zilizogota mwisho?hayo ni baadhi ya maswali ambayo bado hayana majibu,huku Brendan Rodgers hata kama anakula basi chakula hakishuki uzuri kwani hajui nini hatima yake kufuatia kuboronga huko.
Maoni
Chapisha Maoni