KUELEKEA MAY 2,MANNY NA MAYWETHER WAONYESHA FAMILIA ZAO

MAYWEATHER NA PACQUIAO WATAMBULISHA 'USINGIZI' WAO

USEMI kwamba kila mwanaume mwenye mafanikio nyuma yake kuna mwanamke, ni hivyo hivyo hata mwa mabondia wawili nyota duniani.
Zimebaki wiki mbili kabla ya Floyd Mayweather na Manny Pacquiao kukutana ulingoni katika pambano la utajiri mkubwa kwenye historia ya ngumi za kulipwa.
Lakini mabondia hao wawili wamehakikisha wanapata muda wa kuwa na watu hao wao wa karibuni zaidi mwishoni mwa wiki.
Floyd Mayweather with girlfriend Doralie Medina
Manny Pacquiao with his wife Jinkee

Floyd Mayweather akiwa na mpenzi wake, Doralie Medina (kushoto) na Manny Pacquiao na mkewe Jinkee (kulia)
Pacquiao with his wife and  children (left to right: Michael, Israel, Emmanuel, Princess and Queen Elizabeth
Pacquiao akiwa na mkewe na watoto wa o(kutoka kushoto: Michael, Israel, Emmanuel, Princess na Queen Elizabeth

Pacquiao aliungana na mkewe wake wa maisha yote Jinkee na watoto wao watano - Princess, Emmanuel Jnr, Israel, Queen Elizabeth na Michael.
Jinkee aliwasili mjini Los Angeles mwezi uliopita, wiki tatu baada ya mumewe kuanza kambi ya maandalizi ya pambano la Mei 2 mjini humo. Wanandoa hao, hivi karibuni walinunua jumba eneo la Beverly Hills kwa Pauni Milioni 8.4.
Ndoa yao ikiwa ina umri wa miaka 15 sasa, wapendanao hao ndiyo mastaa maarufu zaidi nchini Ufilipino
Mayweather poses in his TMT clothing
Mayweather poses in his TMT clothing

Mayweather akiwa amepozi na vazi lake maarufu la TMT alipokuwa mapumzikoni mwishoni mwa wiki

Anafahamika kama 'Bad Medina' kwenye wasifu wa akaunti zake za mitandao ya kijamii, huyo ndiye mpenzi wa Mayweather .
Mabindia wote walitarajiwa leo kuanza wiki ya mwisho ya mazoezi magumu kuelekea pambano lao.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

CHELSEA KUWAVAA UNITED BILA YA COSTA

ROGERS NJIA PANDA LIVERPOOL